
Hali hii imesababisha kuchanganyika kwa mila na jadi za Waafrika pamoja na Waarabu na Waasia kwa karne zote hizi, kubwa lililowaunganisha ikiwa ni biashara.
Wazanzibari wengi ni Waislamu wanaotoka kwenye madhehebu tofauti kama vile Sunni, Shia, Ibaadh au Ahmadiya, japokuwa wengi wao ni Sunni.
Wazanzibari wengi ni Waislamu wanaotoka kwenye madhehebu tofauti kama vile Sunni, Shia, Ibaadh au Ahmadiya, japokuwa wengi wao ni Sunni.
Zanzibar ina utajiri mkubwa wa urithi wa utamaduni na utamaduni kwa watu hawa, ni zao la maingiliano kati ya wenyeji wa visiwa hivi na wageni waliofika Zanzibar katika nyakati tofauti na kwa madhumuni mbalimbali. Wageni hawa waliwaathiri sana wenyeji wao katika nyanja za dini, sanaa za mavazi, vyakula na lugha ya Kiswahili.
No comments:
Post a Comment